BASHE AAGIZA BODI ASA KUTANGAZA ZABUNI YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI SHAMBA LA ARUSHA LA KUZALISHA MBEGU

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe leo Juni 5, 2022 ameiagiza Bodi ya Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kuanza  mchakato Kutafuta mzabuni atakayejenga mfumo thabiti wa miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji katika shamba la ASA lililopo Ngaramtoni jijini Arusha. Bashe ametoa agizo hilo wakati alipotembelea shamba hilo la uzalishaji wa mbegu za